Odinga: Hakutakuwa na Uchaguzi Kenya 26 Oktoba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Odinga: Hakutakuwa na Uhaguzi Kenya 26 Oktoba
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amesisitiza kwamba muungano wake hautashiriki uchaguzi wa marudio wa urais ambao umepangiwa kufanyika Alhamisi.
Amesema kwamba haamini kwamba utakuwa huru na wa haki.
Bw Odinga aliongoza mkutano wa kisiasa Bondo, magharibi mwa Kenya Rais Kenyatta alipokuwa anaongoza maadhimisho ya sikukuu ya Mashujaa jijini Nairobi.
Ameahidi kutoa tangazo kwa wafuasi wake Jumatano.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad