AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Odinga ambaye anapinga uchuguzi wa Rais ambao unaendelea leo nchini humo amesema kuwa kwanza watasusia bidhaa na huduma zote za kampuni zinazonufaisha udikteta nchini humo na kwenda mbali kuwa muungano wa NASA sasa utajulikana kama Muungano wa Kitaifa wa mageuzi.
"Kuanzia Ijumaa Oktoba 27, hali haitakuwa kawaida. Mambo yatabadilika kabisa, tutaleta pamoja makundi yote ya utetezi nchini kuhakikisha uchaguzi wa urais unaandaliwa upya kwa njia ya uwazi, haki na usawa katika siku 90. Tutasusia bidhaa na huduma zote za kampuni zinazonufaisha udikteta, tutaanzisha kampeni za kitaifa za kupinga mamlaka haramu ya serikali na kukaidi mashirika yake" alisema Odinga
Mbali na hilo Odinga amewataka wanachama na wapenzi wa NASA kutojihusisha na jambo lolote linalohusu Jubileee ikiwa pamoja na kushiriki uchaguzi wa leo na kusema zipo njia nyingi za kumuuwa panya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hata kama upinzani hila we umezidi
ReplyDelete