Odinga la Kuliamsha Dude Kesho Kuibadirisha Hali ya Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Odinga la Kuliamsha Dude Kesho Kuibadirisha Hali ya Kenya
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya chini ya mwamvuli wa NASA, Raila Odinga ametangaza amefunguka na kusema kuwa kuanzia siku ya kesho Ijumaa Oktoba 27, 2017 hali haitakuwa kawaida nchini humo na kudai mambo yatabadilika kabisaa.

Odinga ambaye anapinga uchuguzi wa Rais ambao unaendelea leo nchini humo amesema kuwa kwanza watasusia bidhaa na huduma zote za kampuni zinazonufaisha udikteta nchini humo na kwenda mbali kuwa muungano wa NASA sasa utajulikana kama Muungano wa Kitaifa wa mageuzi. 
"Kuanzia Ijumaa Oktoba 27, hali haitakuwa kawaida. Mambo yatabadilika kabisa, tutaleta pamoja makundi yote ya utetezi nchini kuhakikisha uchaguzi wa urais unaandaliwa upya kwa njia ya uwazi, haki na usawa katika siku 90. Tutasusia bidhaa na huduma zote za kampuni zinazonufaisha udikteta, tutaanzisha kampeni za kitaifa za kupinga mamlaka haramu ya serikali na kukaidi mashirika yake" alisema Odinga
Mbali na hilo Odinga amewataka wanachama na wapenzi wa NASA kutojihusisha na jambo lolote linalohusu Jubileee ikiwa pamoja na kushiriki uchaguzi wa leo na kusema zipo njia nyingi za kumuuwa panya.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad