AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Haji Manara ambaye ni mwanachama wa CCM amesema hayo leo baada ya kuona picha ya kwanza ya Mbunge huyo wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akiwa hospitali nchini Kenya ambapo anapatiwa matibabu kufuatia kupigwa risasi Septemba 7 mwaka huu na watu wasiojulikana.
“Ohhh God,,,mm sijawah kukushabikia ww wala chama chako,,ila nakuombea kwa Mungu upone haraka kaka,,urudi ktk harakati zako,,nikiamini bila uwepo wenu chama changu kitalala.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK