RC Makonda Atoa Agizo kwa Jeshi la JWTZ Kujenga Daraja Lililosombwa na Maji Kawe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

RC Makonda Atoa Agizo kwa Jeshi la JWTZ Kujenga Daraja Lililosombwa na  Maji Kawe
MKUU wa Mkoa wa Dar es Saalam, Paul Makonda, ametembelea daraja lililokatika Kawe, na kuwapa pole wananchi wa eneo hilo kutokana na athari na hasara walizozipata kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea jijini Dar.
Aidha Makonda amewasihi wananchi waishio maeneo hatarishi kuhama haraka iwezekanavyo, ili kunusuru maisha yao, wasinga’nga’nie kulinda Tv wakati maisha yao yako hatarini.
Katika hatua nyingine Makonda amewaagiza Jeshi la Wananchi Tanzania [JWTZ] Kujenga daraja la muda katika eneo hilo ili kupunguza usumbufu na kuwarahisishia wananchi waweze kutembea kutoka sehemu moja kwenda nyingine, huku mamlaka inayohusika na barabara TAMROADS Wakiendelea na ujenzi wa muda mrefu.
Chanzo Global Publishers
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad