AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aidha Makonda amewasihi wananchi waishio maeneo hatarishi kuhama haraka iwezekanavyo, ili kunusuru maisha yao, wasinga’nga’nie kulinda Tv wakati maisha yao yako hatarini.
Katika hatua nyingine Makonda amewaagiza Jeshi la Wananchi Tanzania [JWTZ] Kujenga daraja la muda katika eneo hilo ili kupunguza usumbufu na kuwarahisishia wananchi waweze kutembea kutoka sehemu moja kwenda nyingine, huku mamlaka inayohusika na barabara TAMROADS Wakiendelea na ujenzi wa muda mrefu.
Chanzo Global Publishers
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK