Serikali yamjibu Zitto Kabwe, yasema anapotosha kuhusu takwimu za pato la Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ukuaji wa pato halisi la taifa katika robo ya pili ya mwaka 2017 ulikuwa ni asilimia 7.8

Asilimia 5.7 ni ukuaji wa pato la taifa katika robo ya kwanza mwaka 2017 na sio robo ya pili

Kanuni aliyotumia Zitto Kabwe haikuweka uzito kwenye kipengele muhimu cha kasi ya mzunguko wa fedha

Kabwe Zitto amepotosha kwa kutumia fahirisi ya bei ya walaji(CPI)kukokotoa badala ya kutumia fahirisi ya pato la taifa(GDP deflator)
 
VIDEO:
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyu nae kazoea muda wote kupotosha jamii

    ReplyDelete

Top Post Ad