Shiza Kichuya Afikia Rekodi ya Tambwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shiza Kichuya Afikia Rekodi ya Tambwe
Mchezaji wa Simba, Shiza Ramadhani Kichuya amefunga bao lake la tatu mfululizo dhidi ya Yanga kwenye mechi za Ligi Kuu ya Vodacom tangu asajiliwe na Simba msimu uliopita akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro.
Kichuya amefunga bao akiichezea Simba kwenye sare ya 1-1 dhidi ya Yanga, Jumamosi hii. Kichuya alifunga bao hilo likiwa ni la kuongoza dakika ya 58 kipindi cha pili lakini halikudumu baada ya Obrey Chirwa kuisawazishia Yanga dakika ya 60.
Ikumbukwe kuwa Oktoba 1, 2016 Kichuya aliifunga Yanga kwa mara ya kwanza akiwa Simba bao lake likiwa ni la kusawazisha wakati timu hizo zilipotoka sare ya kufungana 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa.
Aidha, Februari 25, 2017 Kichuya aliifunga Yanga kwa mara ya pili mfululizo kwenye mechi za ligi Simba ilipopata ushindi wa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Taifa.
Jumamosi ya Oktoba 28, 2017, Kichuya ameweka rekodi ya kuifunga Yanga kwa mara ya tatu mfululizo kwenye mechi za VPL mechi iliyochezwa uwanja wa Uhuru, Dar.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad