AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba ambayo ina alama 12 baada ya raundi Sita leo itaingia uwanjani saa 10:00 jioni kusaka alama zingine tatu kwenye raundi ya Saba ya VPL kisha baada ya hapo itajiandaa na raundi ya Nane ambayo itakuwa dhidi ya Yanga Oktoba 28.
Simba inaingia kwenye mchezo wa leo ikiwa na mabadiliko kwenye benchi lake la ufundi ambapo kocha mpya msaidizi Masoud Juma atasimama kwenye mstari baada ya kuchukua nafasi ya Jackson Mayanja aliyejiuzulu mapema wiki hii.
Taarifa kutoka Simba zimeeleza kuwa baada ya mchezo wa leo timu itasafiri kwenda Visiwani Zanzibar kwaajili ya Kambi ya kujiandaa na mchezo dhidi ya watani wao wa Jadi Yanga ambao kesho watakuwa mkoani Shinyanga kucheza na Stand Unite
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK