AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja Uhusiano wa Tanesco, Leila Muhaji ameliambia gazeti hili kwa simu tukio lilitokea maeneo mbalimbali yakiwamo Ubungo na Mbezi.
"Tunaomba radhi wateja wetu kwa usumbufu uliojitokeza kwa kukosa huduma hii. Nawahakikishia mafundi wameshaanza kulifanyia kazi haitafika saa 5 usiku umeme utarudi katika hali yake.
Muhaji amesema tayari maeneo mengine ikiwamo Ubungo huduma imerudi katika hali yake ya kawaida baada ya mafundi kuanza kazi ya kurekebisha itailafu hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK