TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetaja idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu awamu ya kwanza ya udahili katika mwaka wa masomo 2017/18.

Kwa mujibu wa Kaimu Katibu Mtendaji wa TCU Prof. Eleuther Mwageni ameeleza kuwa waliochaguliwa kujiunga na elimu ya juu kwa awamu hii ni 44,627 ambao ni 57.4% na waliosalia ni 33,129 ambao ni 42%. Ambao wamesalia hawakuchaguliwa kutokana na ushindani au kukosa sifa katika programu walizoziomba
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad