Video: Ado Afunguka Kuhusu Kukamatwa Zitto Asema Utawala Haiwezi Kumzima Zitto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Video: Ado Afunguka Kuhusu Kukamatwa Zitto Asema Utawala Haiwezi Kumzima Zitto
Katibu mwenezi wa ACT Wazalendo Taifa, Bwana Ado Shaibu amefunguka na kusema kuwa utawala pamoja na jeshi la polisi linapomkamata kiongozi wa chama chao, ndugu Zitto Kabwe ni kujaribu kutaka kumtisha jambo ambalo wao wanasema haliwezekani.

Ado Shaibu amesema kuwa utawala wa awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli unaminya sana Demokrasia na haki za kiraia pamoja na kuminya sauti zinazotetea haki za raia na Demokrasia.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ama kweli...!!!!
    Ado amesema haya au mnamsingizia?

    ReplyDelete

Top Post Ad