AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo, Akil aliyewahi tamba na vibao kama Regina na Bongo Bhangra alisema huu ni mwanzao wa kuleta mapinduzi na kwamba alikuwa kimya tangu 2013 na sasa amerudi upya.
“Najiona kama nimezaliwa upya. Wote mnanifahamu kwa jinsi nilivyo kwenye kuimba. Nimerudi na mapinduzi mapya katika muziki. Nawapongeza Specious Afrika kwa kuniweka kundini tena,” alisema Akil.
Naye mkurugenzi wa Specios Afrika ambaye pia ni msanii, prodyuza na mtangazaji, Hennesseyy alisema kuwa, baada ya kufanikisha Specious sehemu mbalimbali ikiwemo Amerika sasa ni zamu ya Afrika.
“Tumejipanga, tumesoma muziki wa Tanzania na kuona unafaa kufanya kitu cha kitofauti kwa hiyo niwaambie tu waandishi wa habari Specious Afrika inarudi kivingine na mtarajie kuona mambo mengi.
“Tayari tuna msanii Elly Da Bway na Akil The Brain na tunategemea kutanuka zaidi ya hapa. Elly Da Bway ameshaachia nyimbo mbili mpaka sasa, wa kwanza ni Boss na sasa ameachia Sura ambao umeshaanza kutikisa. Akil naye yupo mbioni kuachia,” alisema Hennessey.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK