AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imeelezwa kuwa kundi hili limekuwa na mchango mkubwa katika kupinga na kupiga marufuku matumizi ya silaha za nyuklia kutokana na madhara yake chini ya sheria za kimataifa hivyo linastahili tuzo hiyo.
Kamati ya maandalizi ya tuz hizo ambazo pia ni waamuzi wa kuu wa mshindi wa tuzo hiyo, imehimiza mataifa mengine yenye silaha za nyuklia kutafuta namna ya kuachana na silaha hizo polepole.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK