AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Mwakyembe amesema hayo leo jijini Dar es salaam wakati alipoongoza matembezi ya hisani ya kuchangisha fedha kiasi cha shilingi milioni mia moja zitakazosaidia matibabu kwa wagonjwa wenye saratani ya matiti hususani wakina mama ambapo matembezi hayo yameandaliwa na Tanzania Breast
Aidha Dkt. Mwakyembe amebainisha kwamba serikali imekuwa ikitumia gharama kubwa kutibu saratani ya matiti kutokana na wengi waliokuwa wakisumbuliwa na ugonjwa huo kushindwa kufanya uchunguzi wa afya zao mara kwa mara.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK