AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hilo limethibitishwa na msemaji wa Yanga Dismas Ten ambaye emeeleza kuwa timu itaanza safari ya kutoka Shinyanga kurejea Dar es salaam siku ya Jumanne Oktoba 24.
“Timu inatarajiwa kurejea jijini Dar es salaam siku ya kesho Jumanne Oktoba 24 mwaka huu ambapo itapumzika na kisha taratibu zingine za maandalizi ya mchezo wa Oktoba 28 dhidi ya Simba zitaendelea”, amesema Ten.
Hata hivyo msemaji huyo hajafafanua ni wapi timu hiyo itaweka kambi kwaajili ya maandalizi hayo huku kukiwa na tetesi kwamba huenda ikaweka kambi nje ya Dar es salaam japo bado haijabainika ni wapi haswa.
Yanga jana iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya wenyeji Stand United kwenye uwanja wa CCM Kambarage na kufanya ifungane pointi na vinara Simba ambayo nayo ilishinda mechi yake dhidi ya Njombe kwa mabao 4-0 hali inayosababisha kuongezeka kwa ushindani kwenye mchezo wao wa Jumamosi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK