AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ajibu ametoa kauli hiyo baada ya juzi Yanga kutoka suluhu na Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Namfua mkoani Singida.
Akizungumza na Championi Jumatatu, Ajibu alisema matokeo hayo si mazuri, lakini wanaendelea kupambana kuhakikisha wanairudisha furaha ya mashabiki kwa kufanya vizuri kwenye michezo ijayo.
“Mashabiki watulie na waendelee kutuunga mkono ili tuweze kufanya vizuri kwenye mechi zijazo kwa sababu haya matokeo hata sisi hatuyafurahii.
“Matokeo yetu dhidi ya Singida ni sehemu ya mchezo, tulijitahidi sana kuhakikisha tunapata ushindi lakini haikuwa hivyo kwa sababu na wenzetu nao walijipanga, kikubwa ifahamike wazi kwamba, ligi bado mbichi,” alisema Ajibu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK