AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Abdu Kiba ameyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kwamba lebo iliamua kuanza kumtoa yeye ili kuangalia upepo utaendaje, kwani alikaa kimya sana kwenye game licha ya kuwa tayari ana mashabiki wake.
“Nimeanza mimi kutokana na ukimya wa muda mrefu, wasanii wapya wapo lakini isingekuwa vyema kukurupuka kuwaleta, mimi nimetumiwa kama chambo kwamba tuwalete kuangalia na mapokezi yatakuwaje, sio chambo kama nimetupwa”, amesema Abdu Kiba.
Hivi sasa msanii huyo ameachia wimbo wake mpya aliomshirikisha Alikiba unaoitwa 'Single', ambao ni kazi yake yake ya kwanza chini ya lebo ya Kings Music ambayo inamilikiwa na kaka yake Alikiba,
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK