AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Beka ameifungukia Full Shangwe hivi karibuni baada ya Shilole kujitapa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ametupia ving’aro vyenye thamani ya Sh. milioni kumi, huku Gigy Money naye akijinadi kwa kusema kuwa, wigi lake ni la Sh. milioni sita!
“Hamna cha mamilioni yoyote zaidi ya kutengeneza tu kiki, wasanii wana mbwembwe sana, wengine wanadanganya wana mali nyingi wakati si kweli. Mimi siwezi kufeki uhalisia wa maisha yangu na siwezi kuendesha muziki kwa kutegemea kiki kwa sababu najiamini kwa kazi zangu,” alisema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kwa hiyo wewe hiyo gari uliyokalia ni yako?
ReplyDelete