AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo alikuwa nchini humo wiki kadhaa zilizopita kwa mualiko maalum baada ya kuchaguliwa kuwa balozi na taasisi moja ya kusaidia watoto ya nchini humo.
Akiongeza na Bongo5 wiki hii, Muimbaji huyo ambaye anajipanga kuachia wimbo wa kufunga nao mwaka, amedai safari ya ufaransa aliitumia vizuri kwaajili ya muziki wake.
“Mungu ni mwema kuna kazi kadhaa nilibahatika kufanya lakini kwa sasa ni mapema zaidi kuzizungumzia,” alisema Ben Pol.
Aliongeza, “Muziki umekuwa na ushindani mkubwa hivyo ukipata nafasi lazima uitumie ipasavyo. Kwahiyo wakati nipo kule nilipata nafasi ya kukutana baadhi ya wadau na kufanikiwa kutengeneza baadhi ya kazi ambazo kwa sasa ni mapema zaidi kuzizungumzia,”
Muimbaji huyo alikuwa ni mmoja kati ya wasanii waliofanya vizuri weekend iliyopita katika tamasha kubwa la fiesta.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK