AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uteuzi wa Sanllehi ni sehemu ya maboresho ambayo klabu hiyo inayafanya, kitendo ambacho kinatafsiriwa na wachambuzi wa soka kama ni kuelekea zama za mwisho za kocha mkongwe Mfaransa Arsene Wenger.
Sanllehí amewahi kuwa mkurugenzi wa michezo wa Barcelona ambapo alihudumu klabuni hapo kwa miaka 14 akianza na majukumu ya mahusiano kabla ya kuwa mkurungezi wa michezo.
Moja ya majukumu ambayo yametajwa kuwa yatasimamiwa na Sanllehi ni usajili ambapo atashauriana na kocha Wenger lakini maamuzi ya mwisho yatatoka kwake pamoja na mtendaji mkuu wa klabu hiyo Ivan Gazidis na mjumbe wa kamati ya usajili Huss Fahmy. Mbali na usajili Sanllehi ataiwakilisha Arsenal kwenye mahusiano ya ndani na kimataifa.
Hivi karibuni Arsenal imemteua Sven Mislintat kutoka Borussia Dortmund kuwa Skauti mkuu wa klabu akichukua nafasi ya Steve Rowley ambaye ameitumikia klabu hiyo kwa miaka 21.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK