Breaking News: Rais Robert Mugabe Ajiuzulu Urais Kabla ya Bunge Kumuwajibisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Spika wa bunge la Zimbabwe ametangaza kuwa rais Robert Mugabe amejiuzulu . Kumekuwa na shangwe miongoni mwa wabunge kufuatia tangazo hilo. harakati za kumuondoa madarakani rais huyo kupitia bunge kumesitishwa.

Katika barua iliyosomwa na spika kwa wabunge hao, mugabe amesema amejiuzulu ili kukabidhi madaraka kwa njia ya amani


Taarifa rasmi kutoka chama tawala cha Zanu PF inasema ndani ya saa 48 zijazo Makamu wa Rais aliyefukuzwa Emmerson Mnangagwa atakuwa kiongozi wa nchi hiyo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad