AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na paparazi wetu, Faiza alisema, awali mwanaume huyo ambaye hakupenda kumtaja jina lake, alikuwa hataki kujulikana mitandaoni lakini sasa ameridhia wamjue yeye ndio baba halali wa mtoto wake aitwaye Li na kufunika uvumi wa kwamba mtoto huyo ni wa baba mwingine.
“Baba mtoto wangu mwanzo hakupenda watu wamjue, lakini maneno yamekuwa mengi mara nimezaa na Sugu (Joseph Mbilinyi) wengine wanasema Gabo (Salim Ahmed) wengine mwanaume mchina, jambo hilo limemkera akaona bora nimuweke wazi na jamii imjue,” alisema Faiza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK