Faiza Aeleza Sababu ya Kumuanika Mzazi Mwenzake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Faiza Aeleza Sababu ya Kumuanika Mzazi Mwenzake
MSANII wa filamu Bongo, Faiza Ally amesema kuwa, japo mwanzoni aligoma kumuanika baba mtoto wake lakini siku chache zilizopita aliamua kumueka wazi baada ya mwanaume huyo kuridhia.

Akipiga stori na paparazi wetu, Faiza alisema, awali mwanaume huyo ambaye hakupenda kumtaja jina lake, alikuwa hataki kujulikana mitandaoni lakini sasa ameridhia wamjue yeye ndio baba halali wa mtoto wake aitwaye Li na kufunika uvumi wa kwamba mtoto huyo ni wa baba mwingine.

“Baba mtoto wangu mwanzo hakupenda watu wamjue, lakini maneno yamekuwa mengi mara nimezaa na Sugu (Joseph Mbilinyi) wengine wanasema Gabo (Salim Ahmed) wengine mwanaume mchina, jambo hilo limemkera akaona bora nimuweke wazi na jamii imjue,” alisema Faiza.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad