Jike Shupa Afunguka Kuhusu Kuishi na Kuwauza Wanaoshiriki Mapenzi ya Jinsia Moja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jike Shupa Afunguka Kuhusu Kuishi na Kuwauza Wanaoshiriki Mapenzi ya Jinsia Moj
Video Queen maarufu, Zena Abdallah anayefahamika kama Jike Shupa, amefungukia skendo ya kuishi na kuwauza wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja (mashoga) kwa kusema hajihusishi na hajawahi kuifanya kazi hiyo.

Akizungumza na Risasi Vibes, Jike shupa alisema kwa muda mrefu amekuwa akisemwa kuhusika kuwatafutia mabwana wanaume mashoga, kitu alichodai siyo kweli zaidi ya watu hao kutaka kumchafua.

“Nina marafiki wengi wa kiume, labda miongoni mwao kuna wanaojihusisha na vitendo vya kishoga, ila mimi sihusiki kwa kuwatafutia watu hao mabwana, wanaozungumza hivyo wana nia ya kunichafua,” alisema.
Stori zi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad