AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inakumbukwa mwaka huu wakati wa zoezi la matibabu ya bure yanaendelea jijini Dar es salaam aliyekuwa balozi wa Tanzania kutoka China aliahidi kushilikiana na Tanzania katika nyanja za afya ahadi ambayo imezaa matunda ambapo kuanzia tarehe 19 mwaka huu timu ya madaktari 300 watatoa huduma za matibabu bure.
RC Makonda amesema madaktari hao watahudumia wananchi 600 kwa siku ndani ya meli hiyo ambapo matibabu ya kawaida pamoja na upasuaji utafanyika bure na kuwataka wakazi wa DSM na mikoa jirani kutumia vyema fursa hiyo itakayodumu kwa siku 7.
Mkuu huyo alisema atatangaza utaratibu mpya wa matibabu hayo ili kuwe na mtiririko ambao utawafanya watanzania kutibiwa kwa urahisi zaidi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Meli kutua? Meli kutia nanga? Ndege kutua? Ndege kutia nanga?
ReplyDelete