AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Boss wa YONO amenukuliwa akisema Mmiliki wa Hoteli hiyo anadaiwa kodi ya pango ya bilioni 5 na Milioni 700 za Kitanzania ambapo wakati wanakwenda kumfungia asubuhi hii Wageni walikuwepo vyumbani na ikawalazimu waondolewe kuhamishiwa kwenye Hoteli nyingine.
Kampuni ya Umma ya Ubungo Plaza Limited inayomilikiwa kwa ubia na Kampuni kubwa tatu NSSF, PSPF na NIC ndio inayomiliki jengo hilo ambapo Mkurugenzi Mtendaji wa Ubungo Plaza Haroon Mgube amesema Blue Pearl alikua akilipa kodi ya pango vizuri tu kuanzia mwaka 2006 mpaka 2014.
Blue Pearl Hotel ilikua na mkataba wa miaka 15 kukaa kwenye jengo hilo na mkataba huo ungeisha 2021 lakini kutokana na kushindwa kulipa kodi ya pango kwa miaka iliyofatia, ameondolewa leo kwa nguvu huku mali zake zikishikiliwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK