Lulu Awasili Mahakamani Kusikiliza Hukumu Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lulu Awasili Mahakamani Kusikiliza Hukumu Yake
Tayari mwigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michaeli maarufu kama Lulu amewasili mahakamani kwa ajili ya kusikiliza hukumu ya kesi inayomkabili, ya kumuua Steven Kanumba bila kukusudia.

Amewasili mahakamani akiongozana na wakili wake Peter Kibatala kwa ajili ya kusikiliza hukumu ya kesi yake.

Lulu anakabiliwa na kesi ya kuua bila kukusudia msanii mwenzake Steven Kanumba.

Watu mbalimbali wamejitokeza kufuatilia huku hiyo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad