AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maxence ameyasema hayo jana katika mahojiano ambayo FikraPevu pia ilikuwepo baada ya kumalizika kwa mdahalo wa kwanza wa Demokrasia Yetu ulioandaliwa na Asasi ya Kiraia ya Twaweza.
Amesema rushwa na ufisadi viliichafua nchi na ilifika wakati hadi watanzania wakaaminishwa kuwa kuna watu hawagusiki lakini tangu Rais Magufuli na Serikali yake waingie madarakani hali imekuwa tofauti kitu ambacho kimepelekea hata tafiti za Twaweza kuonesha kuwa wananchi wanaona kinachotokea kuwa kitu kizuri na cha kupongezwa.
Katika mahojiano hayo, mwandishi alitaka kujua hali ya vitendo vya kifisadi na rushwa nchini na hatma ya uhuru wa kujieleza na vyombo vya habari chini ya Serikali ya awamu ya tano.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK