MCT Yafunguka Kuhusu Wanaokiuka Uhuru wa Waandishi wa Habari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MCT Yafunguka Kuhusu Wanaokiuka Uhuru wa Waandishi wa Habari
Baraza la Habari Tanzania (MCT) kupitia Katibu Mtendaji wake, Kajubi Mukajanga limesema kuwa mkiukaji mkuu wa uhuru wa waandishi wa habari ni serikali kupitia jeshi la polisi.

Akizungumza na waansihi wa habari leo jijini Dar es salaam, Kajubi amesema kuwa katika kipindi cha miaka miwili iliyopita hofu kwa waandishi wa habari na tasnia nzima imekuwa ikiongezeka siku hadi siku hali ambayo imesababisha waandishi kutofanya kai kwa uhuru na weledi.

Kajubi ameeleza kuwa katika kipindi cha miezi sita magazeti matano yamefungiwa mpaka sasa huku akisema mbali na hilo waandishi mbalimbali wa habari wamepata misuko suko hali ambayo haijawahi kuonekana katika historia ya Tanzania huku akieleza kuwa ni mambo ambayo yanalishushia hadhi taifa letu mbele ya Jumuiya ya Kimataifa.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad