AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gigy ambaye anatamba na ngoma ‘Papa’ amekiambia kipindi cha 5 Selekt, EATV kuwa kutokana na hilo kiki ni kitu ambacho kwake hakitaisha hadi kufa.
“Huwezi amini muda mwingi nalipwa kwa ajili ya kiki, mtu anakulipa kabisa nataka kujulikana anakutia kama ni laki tano mimi nafanya naye. Mimi hazikatakaa kuisha mpaka naingia kaburini, mimi mpaka siku nakufa ni kiki” amesema Gigy Money.
Katika hatua ngingine Gigy Money amesema watu wengi wanaamini pengine yeye ni mwanamke anayejiuza lakini ukweli ni kwamba yeye anapambana na maisha yake
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK