AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akifanya mahojiano na EATV Mh. Mwijage amesema kwamba baada ya kufanikiwa kuwafahamisha watanzania kuhusu viwanda na nchi nzima kuanza kuzungumzia viwanda sasa changamoto imekuja ya kukidhi viwanda kwa nchi nzima vyenye kuweza kuwa sifa zinazohitajika
"Unajua shida yangu siyo viwanda. Lakini ninashida na viwanda endelevu ambavyo vitawakidhi watanzania wote. Vitengeneze ajira pamoja na bidhaa mbali mbali na zenye ubora kwenye jamii inayowazunguka, hicho ndicho kiwanda mimi ninachokitaka," Mwijage.
Aidha Waziri Mwijage amesema anapata changamoto kwa sasa baada ya kufanikisha uelewa kwa wananchi kuhusu viwanda sasa mahitaji ya viwanda yamekuwa makubwa kiasi kinachomfanya kushindwa kukidhi mahitaji ya watanzania wote.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK