AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nay wa Mitego amesema kuwa wasanii wengi wa bongo saizi wanategemea zaidi kiki kuliko kufanya muziki mzuri jambo ambalo anaona litafanya muziki wa bongo kufa muda si mrefu kama wasanii hao hawatachukua jukumu la kurudisha muziki kwenye mstari.
"Kusema kweli kuna kitu nakiona kwenye muziki wetu wa bongo fleva tunakibarua kikubwa cha kurudisha muziki kwenye mstari sababu saizi watu wanatengeneza kiki kubwa ila muziki mdogo, yaani kiki zimekuwa mbele muziki unasindikiza kiki miaka miwili mitatu ijayo naiona bongo fleva ikiwa imepotea kama bongo movie ambavyo imepotea kama tusipokuwa makini kuamua kufanya kazi kweli na kiki ziwe tu kusindikiza muziki, saizi watu wanatengeneza kiki hata hazielezeki wasanii tunajisahau tuamke, turudishe muziki wetu kwa sababu tunawalemaza hata mashabiki" alisema Nay wa Mitego
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK