AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri ameyasema hayo alipotembelea hifadhi ya Serengeti katika pori tengefu la Loliondo ambapo amesema kuna kikundi ndani ya wizara kimekuwa kikiendesha vitendo vya rushwa kikihusisha wakurugenzi na mawaziri waliomtangulia.
“Ninafahamu kuwa kuna ugawaji wa vitalu kinyume na sheria ambao nimeusitisha na nitafuatilia vitalu alivyogawa waziri Nyalandu kinyume na sheria na mkurugenzi aliyekuwepo nitawachukulia hatua”, amesema Kigwangalla.
Kigwangalla amesema kuwa atafukua mafaili yote na kuwaondoa mmoja baada ya mwingine na kuwafikisha kwenye mkono wa sheria wote waliohusika na vitendo hivyo ikiwemo kuwauza wanyama hai nje ya nchi.
“Siwezi kuendelea kufanya kazi mpaka nisafishwe hii nyumba kwasababu ni chafu nitaisafisha kwanza ndio niendelee na kazi aliyonipa mheshimiwa rais”, ameongeza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Namupenda kaka Kigwangala
ReplyDeleteKwakweli kijana ana moyo wa kizalendo hasa. Ni moja Kati ya viongozi vijana hazina ya taifa. Wizara anayodili nayo ni nyeti na hatari sana. serikali imuongezee ulinzi zaidi. Ikiwa wahalifu walikuwa na ujasiri wa kumpoteza mzungu mchana kweupe basi hiyo wizara vita vyake si mchezo.
ReplyDelete