Polisi Nchini Zimbabwe 'Wadhibitiwa' na Jeshi Harare

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Polisi Nchini Zimbabwe 'Wadhibitiwa' na Jeshi Harare
Mwanasheria mmoja katika mji mkuu wa Zimbabwe, Harare amepakia kwenye Twitter picha inayoonyesha kundi la maafisa wa polisi wakiwa wameketi kwenye foleni, huku wakiwa chini ya uangalizi wa maafisa wa jeshi.

Fadzayi Mahere, ambaye anapania kuwa mbunge wa Mount Pleasant, Harare, anasema alipiga picha hiyo kupitia dirisha la afisi yake.

Haijabainika nini kilikuwa ninatokea kwenye picha hiyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad