Prezo Afunguka Uhusiano Wake wa Kimapenzi na Amber Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Prezo Afunguka Uhusiano Wake wa Kimapenzi na Amber Lulu
Rapper wa Kenya, Prezzo ameonesha kuthibitisha rasmi uhusiano wake na video model aliyegaukia uimbaji, Amber Lulu.

Akiweka picha kwenye Instagram akiwa na Lulu, Prezzo ameandika, “Wacha waongee Lulu wangu, cha msingi we jua niko na wewe. President hatakuwacha uzame kamwe. Ngechu got u mia mia mia #Rapcellency #GodsSon #TheMakiniTeam #MamaCandy.”

Siku kadhaa zilizopita pia aliweka picha nyingine na kuandika, “Pili pili msioila inawawashia nini?? Tuko freshi ka chungwa #LuluMafia #Rapcellency #TheMakiniTeam.”

Hata hivyo kwenye interview na Dizzim Online wiki kadhaa zilizopita, Prezzo alidai kuwa Lulu ni rafiki yake tu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad