AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Siasa ya uchaguzi haipaswi kuwa mwanzo wa migawanyiko, mbegu tunayopanda leo kama haikukemewa itakuja kutusumbua siku sijazo, niwaombe Watanzania wenzangu, tudumishe upendo na tukatae fujo zisizo na lazima”, amesema Ridhiwani.
Aidha Ridhiwani ametoa ushauri unaolenga kuondoa visingizio na propaganda za kutumia wanachama kama ndio sehemu ya vurugu hizo akidai kuwa wafanya vurugu hao ni wananchi na sio CCM wala CHADEMA kama ambavyo kila upande unadai.
“Wanaopigana ni wananchi, sio CCM wala CHADEMA, maana naona pande zote zinalalamika, tuwe na hukumu sahihi, la msingi tukatae fujo, nchi hii ni muhimu na tuenzi mawazo sahihi ya wazee wetu”, ameongeza Ridhiwani.
Wananchi katika Kata 43 za mikoa 19 nchini kote jana wamepiga kura kuchagua madiwani katika uchaguzi mdogo ambapo vitendo kadhaa vya vurugu viliripotiwa kutokea huku CHADEMA ikijitoa kushiriki uchaguzi huo katika kata 5 za wilaya ya Arumeru.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nimefuahia busara zako!
ReplyDelete