AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akibonga na Mikito Nusunusu Rosa Ree alisema alipigiwa simu na Fid Q akimweleza nia yake ya kutaka kumshirikisha katika ngoma yake mpya, kitu kilichomfurahisha na kumtaka amtumie ‘beat’ ili asikilize na kuingiza kipande chake cha sauti.
“Fid Q alinitumia beat nikaingiza verse yangu, nilipomaliza nilimwambia autaarifu uongozi wangu (management) juu ya kazi hiyo, ajabu baada ya kumwambia hivyo, sikuiona tena simu yake, siku chache baadaye nikasikia ngoma ipo mtaani,” alimaliza Rosa Ree.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK