TFDA Yafunguka Sababu ya Kufungia Lipstiki za Wema Sepetu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

TFDA Yafunguka Sababu ya Kufungia Lipstiki za Wema Sepetu
Serikali imeanika sababu ya kuifungia lipstic ya mwanadada aliyewahi kuwa Miss Tanzania na Muigizaji wa Filamu Bongo, Wema Sepetu iitwayo Kiss.
Kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) pamoja na Shirika la Viwango Nchini (TBS),  rangi hizo hazina ubora kwa matumizi ya binadamu.

Kwa upande wa Meneja wa Wema Sepetu, Happy Shame alipotakiwa kuzungumzia suala hilo amefunguka na kusema kwamba taarifa za kufungiwa kwa bidhaa hizo yeye kama Meneja hajazipata bali anachofahamu mzigo ulikuwa haujaingia sokoni na kwamba muigizajin huyo alikuwa bado akifuatilia vibali kutoka mamlaka husika.

Rangi hizo za mdomo za muigizaji Wema Sepetu zilizinduliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2015 usiku wa birthday yake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad