Tundu Lissu Adai Hawajui Waliompiga Risasi Ila.......

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


KENYA: Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu asema kuwa hawafahamu waliomshambulia kwa risasi Mkoani Dodoma lakini aliwaona watu wawili wenye silaha.
-
Amesema baada ya Makamu wa Rais kumtembelea sasa anaamini kuwa Rais Magufuli anajua kuhusu uwepo wake Nairobi na itawapa uhuru wengine kwenda kumuona.
-
Aidha, Lissu ameongeza kuwa kuna Wabunge wawili CCM, Mary Chatanda (Korogwe Mjini) na Fakharia Shomar Khamis (viti maalum na mmoja wa watumishi wa Bunge walifika siku ya Jumapili kwenda kumjulia hali.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad