AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bw Zuma amesema amezungumza na kiongozi huyo wa miaka 93 kwa njia ya simu.
Amesema Mugabe amemjulisha kwamba yupo nyumbani kwake ambapo amezuiwa kuondoka, kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka kwa afisi ya rais wa Afrika Kusini.
Zuma amesema kwamba amewasiliana pia na Majeshi ya Ulinzi ya Zimbabwe (ZDF), taarifa hiyo imesema.
Afrika Kusini inapanga kuwasiliana na pande zote mbili.
Bw Zuma amekariri wito wake wa awali kwamba kuwe na "utulivu"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK