Zuma: Nimewasiliana na Mugabe na Yuko Salama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zuma: Nimewasiliana na Mugabe na Yuko Salama
Rais Robert Mugabe "yuko salama", rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amesema.

Bw Zuma amesema amezungumza na kiongozi huyo wa miaka 93 kwa njia ya simu.

Amesema Mugabe amemjulisha kwamba yupo nyumbani kwake ambapo amezuiwa kuondoka, kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka kwa afisi ya rais wa Afrika Kusini.

Zuma amesema kwamba amewasiliana pia na Majeshi ya Ulinzi ya Zimbabwe (ZDF), taarifa hiyo imesema.

Afrika Kusini inapanga kuwasiliana na pande zote mbili.

Bw Zuma amekariri wito wake wa awali kwamba kuwe na "utulivu"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad