Baada ya Malezi Linah Kuachia Ngoma na Recho Kizunguzungu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Malezi Linah Kuachia Ngoma na Recho Kizunguzungu
Msanii wa muziki Bongo Linah amefunguka ujio wake mpya baada ya kujifungua.

Muimbaji huyo amesema baada ya mtoto wake kufikisha miezi mitano anaona ni wakati mzuri wa kurejea katika game.

“Mtegemee wimbo mpya mwezi huu wa 12 mwishoni nimefanya collaboration na Recho wa Kizunguzungu, nafikiri wiki ijayo tutaachia” Linah ameiambia Bongo5.

Kufanya kwa kolabo hiyo itakuwa ni mara ya pili kwa Linah na Recho kukutana katika ngoma moja baada ya kushirikishwa na kundi la Makomando katika ngoma yao inayokwenda kwa jina la Chap Chap.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad