AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mhe. Lema ametaja vitu hivyo ikiwa ni masaa machache baada ya Mhe. Mollel kutangaza kujivua nafasi hiyo ya Ubunge.
“Nitakupa mshahara wako wote kwa miaka iliyobaki,pia nitakulipia madeni yako yote,nitakupa kiinua mgongo chako chote nitakupa na mlinzi kwa kipindi hiki na ukitaka tena kugombea nitakupa kipaumbele wewe au kazi nyingine utakayotaka ? Je,utakuwa tayari?Si utakuwa tiyari wajameni?.“ameandika Godbless Lema kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Soma na hii – Mbunge wa Chadema ajivua Ubunge, na kuhamia CCM
Awali kulivuma tetesi kuwa Mhe. Lema naye ni moja ya Wabunge wa Vyama vya Upinzani wanaotarajiwa kujiunga na CCM baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kuweka picha akiwa na Lema na kuandika maneno yaliyoleta utata.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hahahahaha! hayo ni maneno ya mkosaji, wakitoka CCM kwenda chadema ni sawa, ila wakitoka chadema kwenda CCM wamerubuniwa mara wamenunuliwa mara wampewa rushwa!!! Hivi kweli mtu mzima mwenye akili zake timamu na anakipenda chama chake anawezaje kurubuniwa kiasi hicho??? Kwanini ni wao na si'wewe.......NA-BADO...mdogo-mdogo hadi atabaki Mugabe na mkwewe....piiipoozzz PWAAAAAAA
ReplyDelete