AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na ukurasa huu wa burudani, Bill Nas alisema kwamba, dili hilo ni la mkwanja mrefu na hivi karibuni atalifungukia moja kwa moja pale ambapo tangazo alilofanya litaachiwa na wenye nalo.
“Nimepiga dili ambalo nafikiri kwa mashabiki wangu litakuwa ni habari nzuri, sina uhuru wa kulizungumzia tu kwa sababu bado niliofanya nao hawajaliachia, lakini hivi karibuni wataliachia na nitakuwa wazi kusema ni milioni ngapi nimedaka,” alimaliza Bill Nas.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK