AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dudu Baya akizungumza na E-Newz ya EATV amesema baadhi ya wasanii kwa mwaka huu wameitumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuweka picha zisizo na maadili kitu ambacho kimefanya jambo hilo kujadiliwa kuliko muziki wao.
“Watu kama kina Nuh Mziwanda wanapiga picha za uchi uko na Shilole kipindi kile uko bafuni unaoga kuna aja gani kuonyesha mashabiki wako, kuna mtu gani asiyeoga hapa duniani. Ukija kama suala la mdogo wangu Young Dee namkubali sana lakini alipiga picha na Amber Lulu za kumshika makalio, huo ni ujinga,” amesema Dudu Baya.
Dudu Baya ameendelea kwa kusema wasanii watumie mitandao kwa manufaa ya kibiashara na endapo wakishindwa basi sheria ichukue mkondo wake.
“Nabahatika nakutana na Amber Lulu au Gigy Money namwambia ebu kaza kwenye kipaji chako ebu achana na upuuzi, sasa hivi mabinti wanaotaka kuingia kwenye movie au muziki wasije kwa njia walizopitia Amber Lulu na Gigy,” amesema.
“Kama 2017 yamefanyika sana, ni serikali au Basata kuja na tamko, hao ni watu wa kutolea tamko atakayeenda kinyume basi sheria ifuate mkondo wake, siyo wakati wakuonyana ni wakati wa tamko kabla ya kuingia 2018,” amesisitiza.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK