AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gabo alisema hayo alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha eNewz na kusema kuwa tasnia hiyo inapoteza nguvu kutokana na wasanii wake wengi kujikita kufanya kazi zingine zisizohusiana na sanaa.
"Nikizungumza kwa mapana sana inaweza ikawa inawagusa baadhi ya watu ila wasisikitike bali wachukue namna ya kujifunza, unapoacha kazi yako ukafanya kazi ya mwenzako ina maana unaharibu kazi yako. Kazi ambazo zilikuwa zinafanywa na wengi katika wao ambao walikuwa wanafanya kazi zisizokuwa za kwao zinawachanganya watu, unajua hata ukiwa si mwanachuo ukaenda kuzindua majengo ya chuo unaweza ukawachanganya wakashindwa kutambua wewe taaluma yako nini" alisema Gabo Zingamba
Aidha Gabo Zigamba amewashauri wasanii hao njia nzuri itakayosaidia tasnia ya filamu kusonga mbele na wao wenyewe kuwa na heshima katika kazi zao ni pamoja na kufanya kazi yao na kuachana na kazi za watu wengine.
"Itumike hekima na watu waridhike na kubaki katika kazi yetu ya sanaa tusiambatane sana na kazi ambazo hazituhusu basi kuna uwezekano wasanii wa filamu wakawa wamefanikiwa lakini hata wapenda taaluma yetu wakawa wamefanikiwa" alisisitiza Gabo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
je mnaweza kumpotea zito zubli kambwe katika tasnia yenu.
ReplyDeletemanake anahaha anataka kwenda bongo fleva, ipi inalipa?