AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashududa wa ajali hiyo wanaeleza kuwa gari hilo lilikosea njia baada ya kudaiwa kugonga watu wawili na baadae kuzama ndani ya duka hilo. Dereva wa gari hilo alikamatwa muda mfupi na kupelekwa kituo cha Mabatini, Kijitonyama.
Mmiliki wa duka hilo, akizungumza na Global TV Online amesema kuwa amepata hasara kubwa baada ya vitu vyake kugongwa na gari hilo na amesema anawashukuru polisi kwa kumkamata dereva na kwa sasa wanafanya hesabu kujua jumla ya hasara waliyoipata kutokana na ajali hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK