AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wolper ameanika hayo wakati akifanya interview na Global TV Online usiku wa kuamkia leo katika shoo yake ya House of Stylish iliyofanyika katikaUkumbi wa High Spirit Lounge, jijini Dar es Salaam.
Diva huyo wa filamu ambaye amewahi kukiri mwenyewe kubanjuka na mastaa wakiwemo wa Bongo Fleva alisema mastaa wengi wanafanya mapenzi kujifurahisha tu wala si kwa ajili ya kutengeneza familia ama ndoa.
“Kwa kuwa nafanya vitu vya kijamii naepukana na baadhi ya mambo, mahusiano ya mnayoyaona kwenye mitandao ni kujifurahisha tu, ndo maana najiachia, lakini mama yangu angeuwa anatumia mitandao nisingejaribu kufanya hivyo, lazima niwaheshimu wazazi wangu.
“Sijaolewa na hamna aliyepeleka mahali nyumbani kwetu, kwa nini nimtambulshe mwanaume? Siwezi!” alisema Wolper.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK