Mwalimu Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kubaka Wanafunzi 9

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwalimu Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za  Kubaka Wanafunzi 9
Jeshi la Polisi wilayani Tarime mkoani Mara limemkamata na kumfikisha mahakamani mwalimu wa shule ya msingi Itiryo iliyopo Kata ya Ingwe,Samweli Mariba Daniel (29) kwa tuhuma za kuwabaka watoto 9 wa darasa la kwanza.

Kamishna Msaidizi wa polisi, Henry Mwaibambe amesema kuwa walishirikiana na halmashauri ya Tarime na tulifanikiwa kumkamata huyo mwalimu akijiandaa kutoroka kwenda nje ya nchi.

‘Vitendo hivyo vimefanyika katio ya tarehe 30 hadi tarehe 6 baada ya taarifa kufika kwenye vyombo vya dola mwalimu huyu alikamatwa katika mazingira magumu sana, juhudi kubwa kabisa za jeshi la polisi zilifanyika na kwakushirikiana na halmashauri ya wilaya ya Tarime na tulifanikiwa kumkamata huyo mwalimu akijiandaa kutoroka kwenda nje ya nchi,’ alisema Kamanda Mwaibambe.

‘Amefikishwa mahakamani jinai 682 upepelezi wa shauri hili umekamilika na kila ushahidi umekamilika tumemfikisha mahahakamani katiki ya watoto hawa 9 watatu aliwadhalilisha kingono.’
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad