AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Askofu mkuu wa kanisa hilo lijulikanalo kama Kabhula, Askofu Itiehth Makiti ameeleza kuwa lengo kuu la kanisa hilo ni kuwapokea watu ambao wametengwa na kukataliwa na jamii zao au Makanisa yao kutokana na tabia zao za kunywa pombe.
Ameeleza kuwa yeye kama kiongozi wa kanisa hilo analiongoza kwa kuonyesha mfano na hivyo hata yeye mwenyewe kabla ya kuanza kuongoza ibada anakunywa kilevi anachokipenda ambapo Waumini wapya hukaribishwa kwa maombi na kunyweshwa aina ya pombe wanazozipenda
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK