Jike Shupa Atokwa Povu Kisa Wanaume Mashoga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jike Shupa Atokwa Povu Kisa Wanaume Mashoga
MUUZA nyago aliyejipatia umaarufu kupitia Wimbo wa Jike Shupa wa mwanamuziki Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, Zena Mustapha ‘Jike Shupa’ amewatolea povu watu wanaomsema kuwa anapenda kuishi na wanaume tata ‘mashoga’.


Akizungumza na Star Mix, Jike Shupa alisema kuwa, ni ajabu kwa mtu kumuandama, kisa amekuwa karibu na mashoga badala ya kuendelea na maisha yake na kutatua shida zake.



“Jamani naona watu wananishangaa kuwa karibu na mashoga, lakini wakumbuke kuwa ni watu kama walivyo watu wengine, wala siwezi kuwaacha hata kidogo, endeleeni na maisha yenu niacheni,” aliwaka Jike Shupa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad