Kigwangala Aunga Mkono Maamuzi ya Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kigwangala Aunga Mkono Maamuzi ya Simba
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamis Kigwangalla ameunga mkono maamuzi yaliyofanywa na wanachama wa Simba SC huku akisema kuwa watakao kumbukwa zaidi ni wale waliyopinga mabadiliko hayo.

“Leo sina maneno mengi ya kuzungumza nimeshazungumza katika mkutano uliyopita ambao ulikuwa muhimu zaidi yakufikia hapa tulipofika leo.”

“Mafanikio haya hayakuja bure tunatambua uongozi umefanya kazi kubwa sana lakini pia wanachama wamefanya kazi kubwa na wale wasio kubaliana na haya wamefanya kazi kubwa sana.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad