AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kungwi wake ambaye ni Kassim Mganga Alimwambia Assiihusishe ndoa yake na mabo yake ya muziki na ya mke wake ya movie amwache mke wake afanye kazi yake na yeye afanye muziki wake ili wasijikuta wanaingia kwenye migogoro na kutuyia aibu tulioshiriki kusaini vyeti na kusheherekea ndoa yao.
" Ndoa yao ilikuwa na mabo mengi na siku ikitokea wameachana watu watafikilia vile walivyokuwa wakidhania baada ya ndoa tulimtengeneza kisaikolojia maana tulijua wale ni watu maarufu chochote kwakuwa wanamarafiki wengi wanaweza kushauriana mengi mwisho wa siku chochote kinaweza kutokea" Madee.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK